Tafsiri ya "usingizi" hadi Kiarabu
نوم, سِنَة, نَوْم ndizo tafsiri kuu za "usingizi" hadi Kiarabu.
-
نوم
noun masculineMbayuwayu huruka wakiwa wamelala usingizi na wakati huohuo wao hubaki katika eneo lao hewani bila kupeperushwa na upepo.
لا تكتفي السَّمامة بالنوم وهي تطير، بل تبقى ايضا فوق ارضها دون ان تنقلها الريح بعيدا.
-
سِنَة
KILA mwaka, maelfu ya watu wanakufa kwa sababu wanasinzia au hata kulala usingizi wanapoendesha gari.
كُلَّ سَنَةٍ، يَفْقِدُ ٱلْآلَافُ حَيَاتَهُمْ بِسَبَبِ ٱلنُّعَاسِ أَوِ ٱلنَّوْمِ أَثْنَاءَ ٱلْقِيَادَةِ.
-
نَوْم
Mbayuwayu huruka wakiwa wamelala usingizi na wakati huohuo wao hubaki katika eneo lao hewani bila kupeperushwa na upepo.
لا تكتفي السَّمامة بالنوم وهي تطير، بل تبقى ايضا فوق ارضها دون ان تنقلها الريح بعيدا.
-
سنة
nounPia anasema: “Tusipochukua hatua, watoto hao watakuwa na matatizo ya kukosa usingizi watakapokuwa watu wazima.”
وتضيف: «اذا لم يُتَّخذ اي اجراء، فمن المحتمل ان يُصابوا بالأرق في سن الرشد».
-
Onyesha tafsiri zilizozalishwa na algorithimu
Tafsiri za kiotomatiki za " usingizi " hadi Kiarabu
-
Glosbe Translate
-
Google Translate